Tuesday, November 5, 2013

KWA MARA YA KWANZA "CHRISTINA SHUSHO" KUIMBA LIVE KATIKA TAMASHA LAKE LA "NATAKA NIMJUE" 24/11/2013 PALE CCC-UPANGA!!!!

Shalom Tanzania!
Baada ya kimya kirefu, mizunguko mingi ya ndani na nje ya nchi kihuduma, Hatimaye Mwanamama, Mtumishi, Mwimbaji alijinyakulia tuzo ya Uanamuziki bora wa nyimbo za injili Ukanda huu wa Afrika Mashariki, CHRISTINA SHUSHO, Sasa amekuja na jambo kubwa la kipee na hili ni TAMASHA LA KUSIFU NA KUMWABUDU MUNGU!
katika TAMASHA hili lililopewa jina "NATAKA NIMJUE", CHRISTINA SHUSHO ATAIMBA LIVE (BILA KUTUMIA CD) na atasindikizwa na Waimbaji kama
1.BAHATI BUKUKU
BAHATI BUKUKU

HUYU NI MWANAMUZIKI ANAYETAMBA NA ALBUM YAKE MPYA KWA SASA IITWAYO "DUNIA HAINA HURUMA"
2.UPENDO KILAHIRO
Pia Vijana wanaochipukia kwa sasa, hapa ninamzungumzia PAUL CLEMENT na mpiga DRUM maarufu mjini na mwimbaji AMANI KAPAMA
PAUL CLEMENT

AMANI KAPAMA
Mkongwe na Muasisi wa Live JOHN LISSU Ambaye amefanya LIVE RECORDING yake kipindi sio kirefu lilichopita mwaka huu!
CHRISTINA SHUSHO & JOHN LISSU

JAMBO KUBWA ZAIDI NI KUWA TAMASHA HILI LITAONGEZEWA VIONJO VYA kwaya ya KINONDONI REVIVAL, watu waliouvuma sana na ule wimbo wao wa "KWANINI UNATAKA KUJIUA?" pamoja vijana wa THE VOICE Acapella!
KINONDONI REVIVAL CHOIR

THE VOICE
TAMASHA HILI LINATARAJIWA KUFANYIKA KATIKA UKUMBI WA CITY CHRISTIAN CENTRE, TAREHE 24/11/2013 KUANZIA SAA NANE MCHANA MPAKA MOJA JIONI KWA VIINGILIO VYA TSH 10,000(Kawaida) na 20,000 (VIP)
Tiketi zinapatikana SILVERSPOON-mlimani city
Kituo cha MAfuta Mwenge-PUMA,kwenye baadhi ya makanisa pamoja na
Banana kwa Giddo
CCC-Mlangoni.....Kumbuka Usafiri kutoka Posta utakuwepo kuwaleta watu tamashani kwa wale wasiopafahu.

Na King Chavala-MC
Publicity & Protocal Manager

KWA MAELEZO ZAIDI
Piga 0713905118 au 0713883797

No comments:

Post a Comment