Showing posts with label Testimonies. Show all posts
Showing posts with label Testimonies. Show all posts

Wednesday, July 17, 2013

HUYU NI"RAPHAEL JOACHIM LYELA" MTUMISHI AMBAYE ALIYEKAA MIEZI 11 TUMBONI NA KUISHI MTAANI KAMA CHOKORAA!!!

SHALOM WANDUGU!!
NINAWASALIMIA WOTE KATIKA JINA LA BWANA YESU KRISTO!
NINAAMINI KILA MMOJA YUKO POA NA ANAMTUKUZA KRISTO,HUSUSANI WEWE UNAYESOMA HAPA SASA HIVI!
LEO KIPEKEE NINAWALETEA HISTORIA YENYE USHUHUDA MZITO WA MAISHA YA MTUMISHI WA MUNGU AMBAYE BADO NI KIJANA INGAWA ni BABA na ANA WATOTO WENGI SANA TANZANIA NZIMA, HUYU NDIO MBEBA MAONO NA MUANZISHAJI WA HUDUMA IITWAYO "YKM-YOUTH KINGDOM MINISTRIES...Jesus Up!" 

Yamkini na wewe umewahi kupokea message nyingi sana toka katika huduma hii na yamkini umesaidika sana sana....Mtumishi huyu amekuwa anajighulisha sana na maisha na maendeleo ya vijana....yamkini umewahi kumuona chuoni au shuleni aukanisani kwako akihudumu ama umewahi kumsikia redioni akiongea au umewahi kusoma kitabu chake au umewahi kununua CD zake za mafundisho,basi binafsi nilipata fursa ya KUMHOJI KAKA HUYU MWENYE HISTORIA YA KIPEE YENYE KUOGOPESHA LAKINI INAYOTIA MOYO SANA MAANA SASA ANAMTUMIKIA MUNGU KWA BIDII!

(Basi yafuatayo ndio mazungumzo yetu yalivyokuwa na maelezo yote yameandikwa kama mwenyewe alivyojieleza)

UTAMBULISHO RASMI;
Jina Kamili: Raphael Joachim Lyela

Familia;Nimemuoa Angela Godfrey Raphael
Asili;Mfipa Original toka Rukwa-Sumbawanga
Huyu ni Mtoto wa  3 kati ya 6 wa familia ya Mzee J.Lyela.



TUAMBIE HISTORIA YAKO FUPI YA KIELIMU;
".....Darasa la Kwanza Shule ya Msingi Mabatini-Mwanza, pia Mwimbi kule Sumbawanga vijijini nilikomalizia darasa la saba. Nilisoma O Level shule tatu tofauti, nilianza Kipoke Sec school kule Tukuyu nikasoma mpaka form two, nikahamishiwa Lutengano sec school nikasoma mpaka form three, sikumaliza form three yote kwasababu niliibiwa ada ya shule kwa kichupa cha dhahabu so nikaambiwa sitaki shule na hivyo nikaachia form three. 
Nikakaa mwaka mzima home, nilipoambiwa kurudi shule niligoma kurudia tena form three na kwahiyo sikumalizaga form three but nikaamua kusoma masomo ya jioni katika shule ya Iyunga Technical Sec ambako nilimalizia form four na kufeli kwa kupata division 111.24. 
Nikapangakiwa A Level Kigonsera High school, Songea kwa mchepuo wa HGL, nikasoma term moja, kasha nikahamia Sangu high school Mbeya nilikomalizia form six. Nilimaliza na kufeli kwa kupata div 1.8, nikaenda chuo kikuu Mzumbe nilipomaliza Bachalor ya Publick Admin-Human Resources Management."



HUYU KAKA KWA SASA NI MTAALAMU WA;Human Resources Management, NA ZAIDI NI Certified Facilitator
Anafanya Kazi KAMA:Partnership Facilitator,Human Resources Specialist na shirika la Compassion International Tanzania kwa mwaka wa tano tu mpaka sasa.

(Hapa nilimuuliza uzoefu au mambo mengineyo katika maisha yake,nae akafunguka kama hivi)


MAMBO MENGINEYO YA KIPEKEE KUMHUSU RAPHAEL;

".....Nilizaliwa baada ya miezi 11......mama alikufa nikiwa na miaka 10......niliishi mtaani kwasababu baba yangu alikuwa akinipiga sana toka nikiwa mdogo.
........nilianza kunywa gongo na kuvuta sigara na bangi, nilikuwa mwizi toka nikiwa mdogo.......nilishasafiri toka Mwanza mpaka Sumbawanga nikitafuta ndugu zangu bila kulipa nauli na kukaa njaa bila kula wala kunywa kwa siku kadhaa......nimeshauza mkaa na kuvua samaki ili nipate pesa za kujikimu......nilijifunza matusi toka nikiwa mdogo kutoka na jamii niliyokulia.......nimeshakuwa Mkatoliki, Mrastafari, Shahidi wa Yehova na pia Mbudha lakini mwisho nikakutana na Yesu nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu pale Mzumbe........nimeshahudhuria makongamano mengi sana ya vijana ndani na nje ya Tanzania.........nilianza kuandika hadithi za kwenye magazeti nikiwa O level, nimeshaandika kitabu kimoja na vingi vinaandaliwa, ninaimba na nina nyimbo nyingi tu, ni mtunzi wa nyimbo, mwandishi wa vitabu, motivational speaker hasa kwa vijana"

MAONO NA NDOTO ZANGU;
 
".....Mwaka 2003 nilipata mawazo ya kuwasaidia vijana, nilianza kwa kuandika mawazo yangu kuhusu mahusiano kwenye karatasi na niliandika mawazo yangu ya kwanza yenye kichwa cha UTOPIAN PARADISE nikielezea maisha ya Furaha katika ulimwengu wa UTOPIA, mwaka 2007 nilianza huduma ya kutuma msg kwa vijana 24 kuwakumbusha umuhimu wa kuomba na kusogea karibu na Mungu wao,hi indo huduma ya Youth Kingdom Ministries iloiyopata shape mwaka 2012, YKM ni huduma inayowafikia vijana na njia ya kutuma msg kwa simu na mpaka sasa tunawafikia vijana zaidi ya 4000 kila zinapotumwa, YKM ina viongozi wa mkoa katika mikoa 15 mpaka sasa yaani DAR,MWANZA, MOROGORO, ARUSHA,LINDI,MTWARA,MARA, IRINGA, MBEYA,KILIMANJARO,KIGOMA,RUVUMA,DODOMA,SINGIDA,TABORA. Vijana ndio madhabahu yangu"
NILIMUULIZA SWALI,MPAKA SASA UMEATHIRIJE ULIMWENGU WAKO?
"....Mpaka sasa nimefikia vijana zaidi ya 4000 Tanzania nzima na Kenya pia, nina vijana zaidi ya mia moja waliojitoa kutumika katika huduma kwa simu zao toka maeneo mbali mbali, makazini, shuleni, vyuo, mtaani etc"


NI NINI UNACHOTAMANI KUKITIMILIZA MAISHANI MWAKO?

"....I want to die empty, kuachilia kila kilichowekwa na Mungu ndani yangu ili kutimiza kusudi la Mungu juu yangu, juu ya kizazi changu, juu ya taifa langu na juu ya familia yangu. Natamani kuona vijana wamesimama katika kanuni za Ufalme wa Mungu na kuleta mabadiliko yadumuyo katika kila eneo analopatikana Kijana. Natamani siku moja nipotelee kwenye biblia. Natamani nitumike kwa kiwango ambacho hata wakati wangu wa kulala utakapofika basi utukufu wa Mungu udhihirike kwa utukufu wa Omega. Sina chaguo linguine zaidi ya kumtumikia Mungu."

KIPEKEE NINAMPENDA SANA KAKA HUYU NA  TANGU NIMEMFAHAMU NINAJIVUNIA moyo wake,HAKIKA NI CHOMBO IMARA CHA BWANA!!
 
MAISHA YAKE YALICHANGAMSHA SANA NA KUNIKUMBUSHA MAISHA YANGU NILIYOPITIA NA MENGI YA MAMBO NI KAMA TUNASHARE....NA KWA SASA HUWA ANAANDIKA MASOMO MBALIMBALI KWA AJILI YA VIJANA KATIKA MADHABAHU HII KATIKA UKURASA UITWAO "Youth Platform"

Naamini umemfahamu mtumishi huyu vema,ama umemfahamu baba yako vema(kwa wewe ambaye ni mtoto) na zaidi naamini hautaacha kutembelea madhabahu ili ujifunze kila leo maana hapa kuna mengi sana ya kujifunza!!!

Na King Chavala-MC
Hotline; +255 713 883 797
*Jiunge uwe follower wa blog kisha utoe maoni yako au maswali yako!!!

Friday, December 14, 2012

"How The Lord Changed My Life"


I was raised in a catholic home. My parents would take my sister and I every Sunday. I would pay attention but I would always come out of there confused. The fact that I need to confess my sin to a guy, that was just not right to me. As we got older my parents decide to stop going to church for a while and it ended up we going on special occasions like for Christmas and Easter.
By that time I was in public school in middle school. I was never a bad child that did drug or start fight. But I did get caught up with the people that did these thing. And my attitude started to change with my parents and my family. I started to skip school, not to do my work. I was just like a follower basically. In 7th grade my parents started realizing the change in my additive and my grades.
So then my parents decided to put me in Calusa and that’s how I got here. When I first came to this school I was the angryest child ever. I didn’t like the fact that the school was to small that I didn’t have my friends. I didn’t even like my classmate in my class.
Little by little Calusa started to grow on me, I changed my attitude because that wasn’t going to get far at all in this school. I would always be so confused when we would have chapel. Doc would always do the hand movement of the paper and god forgives our sin. That’s a great demostration by the way.
I remember I trusted god as my Savaoir the last day before we went to Christmas break when doc sai the storty of the girl of boy that died. At first I was like to see a changed in my life in seconds yeah that didn’t happen. But I would go online and look up information I wanted to know and ask them in your bible classes. After a while I saw a huge change in my life with everything. And it was all because this school and there strong faith in god that made me come to the lord. Words can’t explain how greatful I am.
By: Lilliana