Saturday, January 4, 2014

HERI YA MWAKA MPYA 2014!!!!

Shalom!!!
Habari zenu wapendwa wasomaji wa blog hii!!
Tulikuwa kimya na sasa tumerudi tena na huu ni msimu mpya!
Naamini mmekuwa na wakati mzuri wakati wa Sikukuu ya Noeli na hata shamrashamra za kuuaga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014!

NENO LA KINABII KWA 2014;
*PAMOJA NA MISUKOSUKO MINGI SANA ITAKAYOKUWEPO MWAKA HUU KISIASA,KIJAMII, KIUCHUMI NA KIIMANI BADO WALE WAMTUMAINIO BWANA WATAUONA MKONO WA MUNGU....NAAM HUU NI MWAKA WA KIBALI KIKUBWA KUTOKA KWA BWANA (A YEAR OF MEGA FAVOUR)
>>>NA KAMA VILE MUNGU ALIVYOWASHINDIA WANA ISRAELI NA KUWAVUSHA BAHARI YA SHAMU,NDIVYO ITAKAVYOKUWA KWA WANA WA MUNGU!!!

*LAKINI PIA NI MWAKA WA KUVUKA KWENDA NG'AMBO YA PILI...A YEAR OF CROSSING OVER!!!

TUNAYO MENGI YA KUJIFUNZA NA KUSHIRIKISHANA HAPA!
TAFADHALI USIONDOKE HAPA NA KAMA BADO HUJAJIUNGA NA BLOG HII BASI JIUNGE SASA!!

KWA NIABA YA TIMU NZIMA YA "GOSPEL STANDARD BASE" NINAKUTAKIA KILA BARAKA NDANI YA MWAKA HUU NA MAFANIKIO MENGI SANA!!

KAA MKAO WA KUMSIKIA BWANA WAKATI WOTE!

Fredy E. Chavala
President
(c)2014

No comments:

Post a Comment