Thursday, August 15, 2013

....KWA MARA NYINGINE TENA WAIMBAJI WOTE WA INJILI MNAKARIBISHWA...."GOSPEL SINGERS' BREAKFAST".....Episode 5!!

Hello Shalom!
HABARI NJEMA KWA WAIMBAJI WOTE WA NYIMBO ZA INJILI!
Kwa mara ya TANO;<Chavala Ideas Platform> kupitia Blog ya Kikristo Gospel Standard Base(http://gospelstandardbase.blogspot.com/) inakukaribisha kwenye Chai Maalum ya Asubuhi ya Waimbaji wote wa Nyimbo za injili (TANZANIA GOSPEL SINGERS' BREAKFAST Episode 5), itakayonywewa JUMAMOSI HII (17th August, 2013);Kuanzia 2:30-6:30mchana pale Victory Christian Centre (VCC)-Victoria,barabara ya bagamoyo...Na mara hii tutakuwa na Walimu na Watumishi Kadhaa kama vile Samuel Sasali, Prosper Alfred Mwakitalima,King Chavala-MC na wengineo katika Panel kuzungumzia "NAMNA YA KUKUA KIROHO NA KUSTAWI KIHUDUMA"....Chai sio bure ingawa HAKUNA KIINGILIO.....Ikiwa wewe ni muimbaji wa kwaya,band,kikundi,mwimbaji binafsi,timu ya kusifu na kuabudu ya kanisani,ikiwa unaimba Hip hop,RnB,Rock ama Gospel Reggae basi hii ni nafasi yako,NJOO UJIFUNZE NA UJUMUIKE NA WENZAKO!
......HATA KAMA UNA KIPAJI,FEDHA NA JINA KIASI GANI,BADO IMEKUPASA KUTAFUTA SHULE ZAIDI ILI UWE STADI!!!!
Kwa maelezo zaidi +255 713 883 797 au Tembelea Http://gospelstandardbase.blogspot.com/ au Blog yeyote ile ya Kikristo!!!!
MUNGU AKUBARIKI WEWE UTAKAYEKUJA BILA KUKOSA NA KUWAHI NI MUHIMU SANA!!


KWA MAELEZO;
+255 713 883 797
E-mail; lacs.project@gmail.com
King Chavala-MC

No comments:

Post a Comment