Thursday, February 13, 2014

WASANII "KUREJEA MADHABAHUNI" NDANI GOSPEL ARTISTS BREAKFAST!!! 22/02/2014

SHALOM!
Kwa mara nyingine tena Ikiwa ni ukurasa wa kwanza wa msimu wa pili na mara ya kwanza kwa 2014, Chavala Ideas Platform (Mahali yanapozaliwa mawazo mapya na makutano ya mawazo yanayotekelezeka) kupitia Wavuti ya Kikristo Gospel Standard Base wamekuandalia tena Staftahi maalum kwa ajili ya mwili wako na nyingine kubwa zaidi kwa ajili ya roho yako wewe ulipewa kipawa na unatumika madhabahuni kwa Bwana iitwayo "GOSPEL ARTISTS BREAKFAST"
Chai hii maalum kwa ajili ya waimbaji wa aina zote za nyimbo za injili,wachezaji,wapiga vyombo,wazalishaji,wasmbazaji,watangazaji,wachekeshaji,waigizaji na kila mwenye kipawa chake anachokitumia madhabahuni itanyweka pale WORDALIVE CENTRE-Sinza Mori, Jumamosi ya tarehe 22/02/2014 Kuanzaia saa 2 asubuhi mpaka 5:59 asubuhi!
Maada au msingi wa chai hii utakuwa ni juu ya wasanii wa injili "KUREJEA MADHABAHUNI" na Mchungaji na mwanamuziki wa siku nyungi Rev.DAVID NKONE atatuhudumia!

Hii sio fursa ya kukosa na sio kwa ajili ya mtu fulani tu maalum,bali ni kwa ajili ya kila anayemaanisha kutumika madhabahuni!
Hakuna Kiingilio na ukiwahi utafanya jambo la maana zaidi!!!

Chai hii inandaliwa na MODERN EVENTS CEREMONERZ
Kwa kusirikiana na WordAlive Centre na

Imedhaminiwa na
1.Great Potentials Ltd
(......Living your Dreams by your potential!!)
2Quality Vision Picture

(Quality vision pictures inafanya Gospel Videos.na sasa kwa watu  20 wa mwanzo kuna ofa maalumu kwa mawasiliano wafike officen Kimara. 0715416961,na 657295614)

NJOO UONGEZA MAARIFA,NJOO UCHANGAMOTISHWE NA NJOO UFAHAMIANE NA MARAFIKI WENGINE,NI MATUMAINI YANGU KUWA HAUTAKUJA PEKE YAKO!!!

0713 883 797

No comments:

Post a Comment