Wednesday, September 18, 2013

EV. RICHARD CHIDUNDO NA MASHAIRI KWA MPENZI WAKE!!!!

kanibembelezaaaaaaaa weeeeeeeeee!!!! me nimekubali bana....sasa angalau na mimi naweza tangazia uma kwamba I am in an OPEN and Clear, Unbrekable, unstopable RElationship.....asanteni kwa maombi yenu watumishi...nitakuwa nikiwajuza hatua kwa hatua juu ya yale ynayoendelea...sasa mtaniheshimu tu...na kama we ni singo aisee unakosa mambo...Jifunzeni kwa walio na watu wanaowapenda kwa Dhati....huyu wa sasa najutaa nimechelewa kumfahamu mapema...hivi mpenzi ungeniambiaga tangia mwanzo mbona ingekukubalia tu jamani!!! halafu na mimi nilikuwaga naogopa kukwambia kama Nakupenda...nilihisi ungenidharau sana Mpenzi..maana nilihisi unaviwango fulani unataka..lakini kumbe hata mie niliyejiona chini..khaaa umenikubali..ama kweli hapana chezea mapenzi..kumbe bora tu ningekwambia kipindi kile aisee...sasa ona watu wamenicheeeeeka, oooh mara richie ana roho ya kukataliwa, mara mizimu ya mababu, maagano ya kutopata kibali kwa wapenzi...mbona wewe sijakufuata umekuja mwenyewe..tena ukajieleza navyonipenda...ningejua nisingemwambia mtu eti nampenda...maana nimedharaulika ujue mpenzi...

sasa we umejileta Mwenyewe, halafu bonge la shopping umenifanyia, piga pamba moja hatari yaani...afu sio mlimani city maana haipatikani..cheki penzi lako umeliweka moyoni mwangu, saizi me naropoka bwana...Nakukubali mno...saizi jipangeni tu kupiga makofi na vigelegele...hapo wenye wivu wote waanze kuabudu...maana hana mpango wa kuniacha...sitaki mwingine saizi..ohoooo..maana hamchelewagi..nshapendwa ...na ndoa sitangazii hapa bongo maana hawachelewi kutoa sijui kikwazo ndoa isifungike....sema mtakuwa mnajisumbua maana mwenyewe ni bonge la mbabe, hela anayo, nguvu anazo akili ndo usiseme...hamtuwezi...sihitaji Gobole wala Binduki, hata Mzinga.....wa nini ulinzi wa nini..KAJA mwenyewe.. yuko fiti aisee usithubutu chezeya...usiku na lala tuli mchana namsifu..MPENZI UMEWAPITA WOTE>>>kwani ulikuwaga wapi? nimechelewa kukufahamu...

mapenzi matamu niwapo nawe Mpenzi.....wengine wote piga chini...achana nao..
ntawajuza kama nilivyosema hatua baada ya hatua lakini sasa niropoke tu I LUV YOU MY DARLING, YOU ARE SO SWEEEEEEEEEEEEEEET, thanks for luving me honey..i receive your Love JESUS!!!!!! MMWAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
FROM; https://www.facebook.com/richard.chidundo?hc_location=stream

No comments:

Post a Comment