Tuesday, October 29, 2013
KILA MTU NI LAZIMA ASOME KITABU HIKI...."KUSUDI LA MAJIRA YAKO!!"
USIJARIBU HATA KIDOGO KUKOSA KUSOMA KITABU HIKI CHA AJABU NA CHENYE MENGI YANAYOKUHUSU WEWE,MAANA NI MUHIMU SANA KILA MTU KUTAMBUA KUSUDI LA MAISHA YAKE!!
HAKUNA JAMBO HATARI ZAIDI DUNIANI ZAIDI YA KUISHI BILA KUJUA KUSUDI LAKO NA MBAYA ZAIDI NI WALE WAJUAO MAKUSUDI YA MAISHA YAO LAKINI HAWAJUI MAJIRA NA NYAKATI YA KUTIMILIZA YALE YAWAAPASAYO KUFANYA!!
FRED D. MSUNGU, CHURCH BOY AMEKUBALI KUTUMIWA NA BWANA NA KUAMUA KUANDIKA KITABU HIKI KIZURI SANA,NI MUHIMU UJIPATIE NAKALA YAKO NA UISOME NA KUIELEWA NA MUNGU AKUBARIKI UNAPOCHUKUA HATUA HIYO!!
KWA MAELEZO ZAIDI,WASILIANA NA MWANDISHI KWA 0653318117
Imedhaminiwa na GoStaBa
+255 713 883 797
HAKUNA JAMBO HATARI ZAIDI DUNIANI ZAIDI YA KUISHI BILA KUJUA KUSUDI LAKO NA MBAYA ZAIDI NI WALE WAJUAO MAKUSUDI YA MAISHA YAO LAKINI HAWAJUI MAJIRA NA NYAKATI YA KUTIMILIZA YALE YAWAAPASAYO KUFANYA!!
FRED D. MSUNGU, CHURCH BOY AMEKUBALI KUTUMIWA NA BWANA NA KUAMUA KUANDIKA KITABU HIKI KIZURI SANA,NI MUHIMU UJIPATIE NAKALA YAKO NA UISOME NA KUIELEWA NA MUNGU AKUBARIKI UNAPOCHUKUA HATUA HIYO!!
KWA MAELEZO ZAIDI,WASILIANA NA MWANDISHI KWA 0653318117
Imedhaminiwa na GoStaBa
+255 713 883 797
MTU MWENYE HASIRA NA NG’OMBE WAKE!!!!
Mzee Majaliwa ni mfugaji mzuri wa ng’ombe. Anategemea ngo’mbe wake kwa
kujipatia kipato, kusomesha wanawe, na kujikimu kimaisha. Bila hao
ng’ombe, mzee Majaliwa hana tumaini kwa sababu amejitoa na kujikita
katika ufugaji.
Mzee majaliwa ni mtu mpenda watu na anayejitoa
kwa shughuli mbali mbali za kijamii. Udhaifu wake mkubwa ni HASIRA. Kila
akasirishwapo na watu, yeye huenda moja kwa moja zizini na kuanza
KUWAPIGA NG’OMBE WAKE KWA FIMBO HADI HASIRA IMSHUKE. Baada ya hasira
kumalizika hurudi tena zizini kwa masikitiko makubwa na machozi
akifikiri jinsi alivyo wapiga ngo’ombe wakati KASA SIO LAO. Akizingatia
kwamba hao ng’ombe wamekua waaminifu siku zote kumpatia maziwa, mbolea,
na vyanzo vingine vya mapato ikiwa ni pamoja na kua tayari KUCHINJWA
BILA KULALAMIKA, ili mzee Majaliwa ajipatie fadha na faida.
Ni rahisi sana kumshangaa huyu mzee anavyopiga ng’ombe ambao
hawajamkosea kitu, ila watu wengi sana wamemfanya MUNGU KAMA NG’OMBE wa
Mzee majaliwa. Wanapokwazwa, kuumizwa na kuzongwa, wanampiga Mungu fimbo
kwa kumtenda dhambi! Ukiwauliza eti wanasema “mume wangu ananizingua
sana”, “isingekua mke wangu nisingekua hivi”, “kama maisha ni magumu na
watu hawanisaidii nifanyeje?”, “nimewaomba wanisaidie wamekataa”, “kila
mtu anafanya kwanini na mimi nisifanye?”, nk.
Yeremia 17:5
“Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye
mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana. 6 Maana
atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa
jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. 7
Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni Tumaini Lake. 8
Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake
karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake
litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala
hautaacha kuzaa matunda. 9 Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una
ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?”
Kama unamtegemea
Mungu, kwanini usimtegemee akuokoe na mashaka, mateso na maumivu yako
pia? Kwanini kumtenda dhambi kwa kisingizio cha WATU kukuumiza na
kutokukutenda kwa haki? Je! Utamchapa Mungu wako viboko kwa kukosewa na
watu wengine hadi lini?
Frank Philip
Mzee Majaliwa ni mfugaji mzuri wa ng’ombe. Anategemea ngo’mbe wake kwa
kujipatia kipato, kusomesha wanawe, na kujikimu kimaisha. Bila hao
ng’ombe, mzee Majaliwa hana tumaini kwa sababu amejitoa na kujikita
katika ufugaji.
Mzee majaliwa ni mtu mpenda watu na anayejitoa kwa shughuli mbali mbali za kijamii. Udhaifu wake mkubwa ni HASIRA. Kila akasirishwapo na watu, yeye huenda moja kwa moja zizini na kuanza KUWAPIGA NG’OMBE WAKE KWA FIMBO HADI HASIRA IMSHUKE. Baada ya hasira kumalizika hurudi tena zizini kwa masikitiko makubwa na machozi akifikiri jinsi alivyo wapiga ngo’ombe wakati KASA SIO LAO. Akizingatia kwamba hao ng’ombe wamekua waaminifu siku zote kumpatia maziwa, mbolea, na vyanzo vingine vya mapato ikiwa ni pamoja na kua tayari KUCHINJWA BILA KULALAMIKA, ili mzee Majaliwa ajipatie fadha na faida.
Mzee majaliwa ni mtu mpenda watu na anayejitoa kwa shughuli mbali mbali za kijamii. Udhaifu wake mkubwa ni HASIRA. Kila akasirishwapo na watu, yeye huenda moja kwa moja zizini na kuanza KUWAPIGA NG’OMBE WAKE KWA FIMBO HADI HASIRA IMSHUKE. Baada ya hasira kumalizika hurudi tena zizini kwa masikitiko makubwa na machozi akifikiri jinsi alivyo wapiga ngo’ombe wakati KASA SIO LAO. Akizingatia kwamba hao ng’ombe wamekua waaminifu siku zote kumpatia maziwa, mbolea, na vyanzo vingine vya mapato ikiwa ni pamoja na kua tayari KUCHINJWA BILA KULALAMIKA, ili mzee Majaliwa ajipatie fadha na faida.
Ni rahisi sana kumshangaa huyu mzee anavyopiga ng’ombe ambao hawajamkosea kitu, ila watu wengi sana wamemfanya MUNGU KAMA NG’OMBE wa Mzee majaliwa. Wanapokwazwa, kuumizwa na kuzongwa, wanampiga Mungu fimbo kwa kumtenda dhambi! Ukiwauliza eti wanasema “mume wangu ananizingua sana”, “isingekua mke wangu nisingekua hivi”, “kama maisha ni magumu na watu hawanisaidii nifanyeje?”, “nimewaomba wanisaidie wamekataa”, “kila mtu anafanya kwanini na mimi nisifanye?”, nk.
Yeremia 17:5 “Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana. 6 Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. 7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni Tumaini Lake. 8 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda. 9 Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?”
Kama unamtegemea Mungu, kwanini usimtegemee akuokoe na mashaka, mateso na maumivu yako pia? Kwanini kumtenda dhambi kwa kisingizio cha WATU kukuumiza na kutokukutenda kwa haki? Je! Utamchapa Mungu wako viboko kwa kukosewa na watu wengine hadi lini?
Frank Philip
Saturday, October 26, 2013
HATIMAYE MBUYU MKONGWE (SAMUEL SASALI) UMEANGUSHWA NA DK MILEMBE MADAHA LEO 26/10/2013!!!
![]() |
| CERTIFIED MR SAMUEL AND MRS MILEMBE SASALI |
NA HIYO HATUA HAPO JUU ILIFIKA BAADA TU YA KIAPO CHA KILA MMOJA KWA MWENZAKE PAMOJA NA PETE YA AHADI YA NDOA NA KUTUNZA KIAPO HICHO
VAA PETE HII,IWE ISHARA YA AGANO LANGU KWAKO.....
VAA PETE HII.....
![]() |
| GROOM'S MEN PAMOJA NA SAMUEL SASALI |
![]() |
| MAIDS KUMPAMBA MILEMBE |
WALIINGIA KWA FURAHA SANA NA KILA MMOJA ALIFURAHIA UCHANGAMFU WAO
![]() |
| MR SAMUEL AKIONGEA NA KUMSIFIA MKEWE |
![]() |
| MRS MILEMBE MADAHA WA SAMUEL AKIONGEA |
![]() |
| MR & MRS SAMUEL AND MILEMBE SASALI |
KIPEKEE WALITOA ZAWADI YA KEKI KWA WATU WAO KADHAA MUHIMU SANA, AMBAO WAMEKUWA MSAADA KWA KILA MMOJA WAO NA KWA MAHUSIANO YAO.....BAADHI YA WALIOPEWA ZAWADI YA KEKI NI PAMOJA NA WAZAZI WA PANDE ZOTE MBILI,
MILEMBE ALIPELEKA UKWENI...
NA HUKU PIA VIVYO HIVYO!
KAMATI YA MAANDALIZI,MARAFIKI HURU,AFLEWO TEAM,DK PARVINA,PROSPER MWAKITALIMA,APOSTLE ONESMO NDEGI, LINDA TEMBA NA DK.HURUMA NKONE, MCHUNGAJI ALIYEFUNGISHA NDOA HIYO!!
![]() |
| KEKI KWA MCHUNGAJI NA MKE WAKE |
![]() |
| KEKI KWA PROSPER MWAKITALIMA |
![]() |
| KEKI KWA DK PARVINA |
NA BAADA YA HAPO MENGI YALIENDELEA,KAMA VILE KUONA SHORT DOCUMENTARY NA HATIMAYE CHAKULA,NA HAPO WALITUMBUIZA THE VOICE,SAMWEL YONAH, AMANI KAPAMA, BOMBY JOHNSON PAMOJA NA KING CHAVALA-MC NA KIBAO MAALUM KABISA KWA MAHARUSI "SAMILEMBE"
![]() |
| KING CHAVALA-MC |
KAMATI YA MAANDALIZI ILIENDA MBELE KWA KUCHEZA KAMA HIVI
CHRISTIAN BLOGGERS NAO HAWAKUBAKI NYUMA KATIKA KUMPONGEZA MWENZAO!
![]() |
| "SAMILEMBE" |
HATIMAYE BAADA YA YOTE WALIPIGA PICHA NA KUONDOKA KUELEKEA HUKO AMBAKO HAKUNA AJUAYE NA WAO HUJUA TU WAKISHARUDI!!
SHUKRANI NYINGI SANA KWA KAMATI YA MAANDALIZI NA KILA ALIYEHUSIKA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUFANIKISHA JAMBO HILI,AHSANTE SANA MWENYEKITI NOEL TENGA KWA KUKUBALI KUTUMIKA KUBEBA JUKUMU HILI!
KWA NIABA YA TIMU NZIMA CHA YA CHAVALA MEDIA, TUNAWATAKIA KILA LAKHERI NA MAISHA MAREFU SANA YENYE FURAHA NA AMANI NA UPENDO WA KWELI WATU HAWA MUHIMU SANA KWETU,AMEN!!
IMEANDIKWA NA
King Chavala MC
+255 713 883 797
Tuesday, October 1, 2013
Monday, September 30, 2013
JOHN LISSU KUANDIKA HISTORIA YA MUZIKI WA INJILI TANZANIA TAR 06/10/2013!!!
UKO HAPA DVD LIVE RECORDING
NA JOHN LISSU,
06/10/2013,CCC-UPANGA, DAR ES SALAAM, TANZANIA.
SALAM TANZANIA!
Shalom Dar es salaam, Shalom Tanzania!
Ndugu wanahabari na watanzania wote kwa ujumla!
Naamini tuko salama na tunaendelea na shughuli zetu za kila
siku alizotupatia Mungu wa mbinguni, tumshukuru Mungu sana kwa Amani na utulivu
aliotupa na tuendelee kumuomba ili atuepushe na kila aina ya dhahama na
uharibifu wa Yule adui!
Kama tulivyosikia hivi karibuni, yale yaliyotokea nchi jirani
ya Kenya, kwa hakika tunawapa pole sana kwa mkasa huo, pole kwa wale
waliowapoteza wapendwa wao na wale waliojeruhika tunawaombea wapone haraka,
tunaamini hekima ya Mungu itakuwa juu ya serikali yao kushughulikia jambo hilo
kikamilifu.
Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, hata sasa tunapoende
kumalizia robo ya tatu ya mwaka 2013, tumeshuhudia mambo mengi sana mwaka huu
ya kila aina, yapo yale yalionza kwa mara ya kwanza na mengine yamekuwa ni
mwendelezo tu wa yale yadumuyo au yalioyaanza hapo kale, tumeshuhudia michezo
mbalimbali na vipaji lukuki vikiinuka na kuimarika katika maeneo mbalimbali ya
nchi yetu, na kwa yote mema na mazuri tunampa Mungu Utukufu kwa hakika!
UTANGULIZI JUU YA JOHN LISU;
John Lisu
ni mmoja wa waimbaji/Waabudishaji wanaoheshimika katika Tasnia ya muziki wa
Injili kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukuza na kuendeleza
muziki wa Injili nchini Tanzania na nje ya Nchi. Nyimbo nyingi alizozitunga na
kuziimba zimekuwa zikitumika katika makanisa mbalimbali kama nyimbo za kusifu
na kuabudu; pia waimbaji wengine waliokua wakiimba naye wameweza kukua na
kufikia uwezo wa kuwa waimbaji wa kujitegemea. John Lisu pia ametia hamasa kubwa
miongoni wa wanamuziki wa Injili kuanza kufanya muziki wa live. John Lisu
ameweza kufanya tours za ndani ya Tanzania, Africa na Bara la Ulaya kwa ajili
ya huduma.![]() |
| CHRISTINA SHUSHO |
John Lisu anategemea kufanya Project II ya
Live recoding inayojulikana kama "UKO HAPA" baada ya project ya
kwanza ya Jehova yu hai kufanya vizuri sana. Tamasha litafanyika ndani ya
ukumbi wa City Christian Centre (CCC) Upanga tarehe 6 Octoba 2013, kuanzia saa
8. mpaka saa 2 usiku.
![]() |
| PAUL CLEMENT |
Tamasha litasindikizwa na waimbaji nguli kama Christina
Shusho, Neema Gospel Choir, Paul Clement, Pastor Safari Paul, Bomby Johnson Waimbaji
wote wamethibitisha kuwepo.
![]() |
| BOMBY JOHNSON |
VENUE:
City
Christian Centre (CCC) mkabala na chuo kikuu cha mzumbe
Si
mbali saana kutoka Diamond Jubilee
![]() |
| MIRIUM LUKINDO WA MAUKI |
USAFIRI
(basi zilizobandikwa matangazo ya tamasha) utakuwepo kutoka posta mpya kwenda
ukumbini kuanzia saa saba na nusu mchana kwa bei ya kawaida.
![]() |
| PASTOR SAFARI PAUL |
HABARI NJEMA-MUHTSARI!!!!!
Sasa kwa mara pili nchini Tanzania, mwimbaji WA NYIMBO ZA
INJILI na mwabuduji JOHN LISSU wa jijini Dar Es Salaam, atakuwa anafanya Ibaada
kubwa ama Tamasha la kusifu la Kuabudu(LIVE PERFORMANCE), litakalorekodiwa moja
kwa moja (DVD LIVE RECORDING) lenye jina “UKO HAPA” (Yaani Mungu na Uwepo
wake).
Tamasha hilo litafanyika jumapili ya Tarehe 6, Octoba 2013 katika Ukumbi mkubwa wa kisasa wa Kanisa la City
Christian Centre (CCC)- Upanga, mkabala na Chuo Kikuu Mzumbe – tawi la Dar es
salaam, kuanzia saa nane mchana.
Tunataraji watu 5000
kuwa sehemu ya tamasha hili la kipekee,Utakuwa sehemu ya tamasha hilo kwa
tiketi ya 10,000/= (kawaida), 20,000/= (VIP) na 3000/= (Watoto);
na Kwale
watakaohitaji tisheti maalum za tukio hilo, basi zinapatikana kwa kati ya
12,000-15,000/=, wewe wasiliana tu na (0713905118)
![]() |
| NELLY-MKE WA JOHN LISU |
VITUO VYA
KUUZIA TIKETI;
1.
MWENGE
– Tarakea duka la Kanda
2.
KINONDONI
– DPC
3.
MLIMANICITY
– Silverspoon Restaurant
4.
KARIAKOO
– Mbogo Shop
5.
UKONGA
BANANA – KWA GIDO
6.
POSTA
- DUKA LA MSAMA
T-SHIRTS
-T-shirts maalumu kwa wanaume na wanawake
zinapatikana katika vituo vya kuuzia tiketi kwa bei ya elfu kumi, mpaka elfu 15(kutegmeana
na aina).
N.B; Kwa
tiketi ya VIP, mnunuzi atajipatia na Audio CD ya John Lissu ya “Uko Hapa”
USAFIRI UTAKUWEPO!!
Siku ya
tamasha kutakuwepo usafiri kutoka Posta Mpya mpaka CCC-Upanga,eneo la tukio,
hivyo kama wewe ni mgeni na hupafahamu mahali hapo, basi utakachotakiwa kufanya
ni kupanda magari toka ulipo mpaka posta mpya kabla ya saa nane,na hapo
utayakuta mabasi yenye mabango ya Tamasha, basi utajongea humo na hapo
utawezeshwa kufika eneo la tukio, muhimu ni kuzingatia muda!
MUHIMU SANA!!
![]() |
| JOHN LISU NA TIMU NZIMA WAKIWA MAZOEZINI |
Tamasha
hili ni muhimu sana kwa Tanzania, hasa ukizingatia JOHN LISSU ni mmoja wa
waimbaji wa kwanza kuimba live kila mahali anapoalikwa na ni mwimbaji wa kwanza
binafsi kufanya LIVE DVD RECORDING pale Ubungo plaza, na ile ya kwanza iliitwa
“JEHOVA YU HAI” na sasa anafanya LIVE RECORDING kwa viwango vingine bora zaidi,
maana Mungu hutupa hatua moja zaidi kila siku.
Ni muhimu kwa kila mtanzania kujivunia kipaji na tukio hili
muhimu katika historia, njoo umwabudu na kumsifu Mungu pamoja, Njoo ujifunze,
Njoo umuunge mkono mtanzania mwenzako na njoo uje ufanyike sehemu ya Historia
hii kwa Utukufu wa Jehova.
| NEEMA GOSPEL CHOIR-KWAYA PEKEE ITAKAYOSHIRIKI "UKO HAPA" |
MWALIKO
MAALUM;
Kipekee Ninapenda kuwakaribisha wachungaji, mitume, manabii,
wainjilisti, waalimu na viongozi wote wa makanisa na huduma mbalimbali,
ninawakaribisha viongozi wote wa kisiasa na kijamii kutoka serikalini na vyama
vya siasa vyote, ninapenda kuwakaribisha wanaharakati na wanataaluma wote,
ninapenda kuwakaribisha waimbaji wote wa nyimbo za injili na wanasanaa wote,
ninapenda kuwakaribisa wanafamilia wote, asiwepo wa kubaki nyuma, ninapenda
sasa kukukaribisha wewe unaesoma hapa, naam nisaidie kumkaribisha na mwenzako
na yeye aje na mwenzake, kimsingi tukio hili ni letu wote bila kujali kitu
chochote, njooni tumsifu na kumwabudu Bwana na Mungu hataacha kuibariki
Tanzania!
![]() |
| EMMANUEL NDIYE ATAKAYEMPIGIA JOHN LISU LEADING GUITOR |
SHUKRANI;
Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa Hakneel Production
(Wadhamini wakuu), na Jonn Lissu na timu nzima ya maandalizi; Kanisa la
CCC-Upanga; vyombo vya habari hususani Praise Power na WAPO Radio; Clouds TV
kupitia CHOMOZA na Clouds Radio kupitia GT; Sibuka Tv kupita Gospel Hits;
Bloggers hususani Christian Bloggers, magazeti na vyombo vingine vyote vya
habari! Shukrani hizi zimfikie kila mtu mmoja mmoja aliyetoa mchango wa mawazo,
fedha, ushauri, maombi, ubunifu, yaani mchango wowote wa hali na mali na Mungu
awabariki nyote!
![]() |
| MIRIUM LUKINDO WA MAUKI |
MUHTASARI MKUU;
Tukio; TAMASHA
LA KUSIFU NA KUABUDU, LITAKALOREKODIWA
(DVD LIVE RECORDING CONCERT)
Mhusika; JOHN LISSU
Jina: “UKO HAPA”
Mahali; UKUMBI WA KANISA LA CITY CHRISTIAN CENTRE
(CCC)- UPANGA
Lini; 06TH OCTOBA, 2013
Muda; KUANZIA SAA NANE
MCHANA
Kiingilio; Tsh 10,000/= (kawaida); 20,000/= (VIP) na
5000/= (Watoto)
Wasindikizaji;
CHRISTINA SHUSHO, MIRIUM LUKINDO, PASTOR SAFARI, BOMBY JOHNSON, NEEMA GOSPEL
CHOIR-AIC Chang’ombe na PAUL CLEMENT.
Mengineyo; USAFIRI UTAKUWEPO TOKA POSTA MPAKA CCC-UPANGA
na Unaweza kujipatia Tisheti pia.
Wahusika; WATU WOTE MNAKARIBISHWA!
UKIPATA
HABARI HII USIACHE KUMSHIRIKISHA NA MWENZAKO, NAAMINI HAUTAKOSA TUKIO HILI
MUHIMU LA KIHISTORIA KATIKA NCHI YA TANZANIA KWA UTUKUFU WA MUNGU!!
KWA PICHA
NA TAARIFA ZAIDI;
MAWASILIANO:
O713 240 397 – JOHN
LISU
0713 905 118 –PROSPER
MWAKITALIMA – EVENT MANAGER
0713 883 797 - FREDY
CHAVALA - PUBLICITY
Imetolewa na;
Fredy E. Chavala <King Chavala (MC)>
Publicity Manager
+255 713 883 797
On Behalf of The Organizing Committee
Wednesday, September 18, 2013
RICHARD CHIDUNDO....MC/CHRISTIAN STAND UP COMEDIAN/INTERPRETER BUT ABOVE ALL EVANGELIST OF THE GOSPEL OF JESUS CHRIST!!!!!
![]() |
| RICHARD CHIDUNDO |
THIS IS THE MAN WHO MEAN IN WHATEVER IS DOING!
I LOVE HIM FOR REAL!
HE KNOW HOW TO IT....HE LOVE DOING IT......HE FEELS PROUD TO IT AND HE KNOW THE VALUE OF DOING IT!!
YES HE IS A VERY GOOD SINGER AND ACTUALLY TEACHER/LEADER OF PRAISE AND WORSHIP...HE DO VERY WELL IN PIANO AND GUITOR!
HE IS A VERY GOOD MC AND LINGUISTIC EXPERT!
HE IS MY BEST STAND UP COMEDIAN AND ACTUALLY HE IS A MEMBER OF LAUGH AGAIN CONCERT SERIES!
RICHARD CHIDUNDO MINISTERING TO STUDENTS BY SINGING AFTER PREACHING
RICHARD CHIDUNDO MINISTRING TO SECONDARY STUDENTS!
![]() |
| STUDENTS SHOWING THEIR TALENTS AFTER WORD OF GOD |
HERE ARE SOME POEMS AS COPIED FROM HIS FACEBOOK WALL!
AUGUST 23
"hayawi hayawi sasa yamekuwa..watu wameseeeeeeeeeema we, ooh rich kuna tatizo gani...mbona uko peke yako me nawaangaliaga tu..oh utaoa lini nawaangaliaga tu...waliooa nao wananikumbushia...ooh me nawaangaliaga tu..sasa hayawi hayawi yamekuwa ....MUngu kaona siyo vema niwe peke yangu ...akanipatia mtu wa muhimu sana yaani ..nikichoka napewa pole, nikihisi kuumia pole....nikisafiri nikirudi pole....sikohoi pole...hayawi hayawi sasa yamekuwa... japo hatufanani lakini wewe rafiki yangu unafaa...Mungu akubariki mno kwa kuwa rafiki mwema hapa face book...yani wewe unayesoma post hii.. Nakupenda"
![]() |
| RICHARD CHIDUNDO LEADING A WORSHIP WITH MBEYA MASS CHOIR |
IT IS VERY GOOD WHEN PEOPLE COME TO DANCE BEFORE THE LORD!
![]() |
| EV. RICHARD CHIDUNDO |
SEPTEMBER 9
"Rich kapatikana ,,, jamani nimepatwa mie, sasa mizunguko yangu itaisha, maana yuko wakunituliza,...siamini kwamba vimacho vyangu vimegoma kuangalia pengine...ha we mupenzi mbona nilichelewa kukuona, nimehangaika weeeeeeeee, na wengine, wamenipiga kibuti, wengine wamenikashifu, eee ninaorodha ndefu ya wapenzi hapa, kama kijiji, lakini wewe umezidi wote, eti huwezi kuniacha nitembee peke yangu, na jicho lako hunitazama kila mahali, naringaje..kumbe ulikuwa unasubiria siku ntakayojieleza mwenyewe,, ni mpole wewe, na maneno yangu mengi mpaka najistukia, saizi naanza kuongea kwa point..ama kweli heri kuwa wawili kuliko mmoja...sasa naomba nijieleze vile umenichanganya na luv yako, vile umenifanya niwe mdogo, ee bwana ee kiukweli me nakupenda saaaana..ndiyo maana ninaujasiri wa kukuelezea mbele za watu, naamini sana ahadi zako si kama za wengine waliopita, sure we ni mkweli, kila usemacho nikweli, nakukubali, nataka uwe wangu daima, nsije nikasahau kukupa siri ya Moyo wangu,,,Serious yani Jesus I LOVE YOU SO MUUUUUUUCH>>>>>"
THE JOY OF THIS LIFE IS TO DO THE WILL OF THE HEAVENLY FATHER!
![]() |
| INTELLECTUALS IN OVERNIGHT IN MBEYA |
WHEN YOU NEED AN MC IN A CONFERENCE, CAMP, CRUSADE OR SOCIAL FUNCTION LIKE WEEDING, SENDOFF AND OTHERS.....WHEN YOU NEED A TEACHER OF PRAISE AND WORSHIP, WHEN YOU NEED AN INTERPRETER IN ANY EVENT THAT HAS THAT NEED AND WHEN YOU HEAR ANYTHING ABOUT LAUGH AGAIN CONCERT SERIES EVENTS, THEN CHOOSE TO CONSIDER US AS YOUR PATNERS!
NOW RICHARD CHIDUNDO HAS ORGANIZED A MISSION IN KAHAMA, SHINYANGA FOR A WEEK WHERE I BELIEVE A VAST OF SOULS ARE GOING TO BE WINNED!
YOU CAN EVEN SUPPORT HIM AND THE TEAM BY PRAYING FOR THEM AND CONTRIBUTE A BIT TO SUPPORT THEM!!
RICHARD CHIDUNDO
+255 713 802107
Imeandikwa na
+255 713 883797
King Chavala(MC)
Subscribe to:
Posts (Atom)

















































