Wednesday, March 27, 2013

USIONEKANE TU MZURI KWA MBALI LAKINI UZURI UKO MBALI NA WEWE(01)

Shalom!

Nawasalimia wasomaji wote kwa Jina la Yesu Kristo, Bwana na mwokozi Yesu Kristo!

Natumai mko vema na mnaendelea vema, kuna mengi sana ya kuzungumza katika misingi hii ya Injili bora na leo nimesukumwa kuongea na wadada na wanawake jambo moja la muhimu kweli,lizingatieni hili litawasaidia mno.

Mungu alipokuumba mwanamke wala hakukosea,alikuumba kwa kusudi maalum na ana mpango kamili na maisha yako.
kila alichokiumba Mungu ni kizuri ingawa binadamu huona tofauti,maana wanadamu wametafsiri uzuri kama mapendezo ya macho sawasawa na tafsiri kichwa cha mwenye macho!
Mungu amewaumba wasichana na wanawake kwa namna ya kipekee na uzuri wa ajabu, ndio hata kama watu hawatasema lakini kuna uzuri upo unaowafanya muwe mapambo ya Dunia!

Mungu amemuumba mwanadamu kwa hatua,naama kila kiumbe pia hupitia hatua fulani katika kiushi kwake....mwanadamu huwa na maisha ndani ya wazazi na kisha kuzaliwa>huwa mtoto>hukua na kuanza kutembea na kufanya mengi>na muda ukifika hupevuka na hapa ndio mtu huwa mrembo na mzuri sana,kisha kuna kipindi chwa mwanzo cha ujana,ujana huja na hatimaye utu uzima na kisha uzee kabla ya kupumzika katika maisha haya ya ulimwengu!!

Kila hatua Mungu aliyoiumba ina raha na manufaa yake kwa kila kiumbe na kwa kuwa hapa nazungumza na wadada na wanawake, nataka nisistize kuwa kila hatua ya kukua kwenu ina maana sana katika maisha yenu na kwa Mungu pia! imekupasa kujifunza vema kutumia muda vizuri na kufurahia kwa kina kila hatua ya maisha yako.
ukiwa na ule usichana mdogo imekupasa kucheza michezo yote ya rika hilo na unapopevuka basi fanya yale maadili yote yakupasayo,maana nawaona watu wengi hufanya makosa sana na baadae kufanya mabo ya kitoto wakiwa watu wazima!


Mungu amekuumbia mpango maalum wa maisha ya baadae,kama hujaamua kuifuata njia ua utawa,maana yake unahitaji kuwa na familia bora,lakini hiyo familia bora haipatikani kwa nadharia bali kwa kujiandaa vema,katika ndoa mna ndio maana kila mahali biblia husema...mke mwema nani awezaye kumuona?

Nimeona wasichana wengi wa kipindi hiki wamekulia maisha ya kudeka na uvivu, kiasi cha mpaka nguo zao za ndani zinafuliwa na wasichana wa kazi au mashine,si ajabu kumuona binti mwenye miaka zaidi ya 20 hajui kupika wala kufanya kazi za nyumbani!

Si mbaya bado muda unao,kama kweli unataka kuolewa na kuwa na familia bora imekupasa kuanza kujiandaa sasa,kwa kujifunza yale yote yakupasayo kujua ili uwe mke mzuri na mama mwenye akili wa familia,zaidi unapaswa kujiandaa kisaikolojia,kiuchumi,kijamii na kiakili....kuna somo nimewahi kusikia mtumishi mmoja akifundisha na alisema;
.....UNTIL WHEN YOU ARE SINGLE,THEN YOU ARE REDY TO BE MARRIED!!!
na hapo kuwa single ina maanisha ukifika mahali unaweza kujitegemea na kujisimamia mwenyewe kimaamuzi,kimaisha,kiuchumi na kijamii,hapo ndipo unaweza ukamkaribisha mtu moyoni mwako ili awe mume wako!

kiini cha maada hii ni hiki,yamkini unajiona mzuri sana,na labda watu wengi wamekusifia hivyo na yamkini ndivyo ulivyo,na tangu umesifiwa na kusumbuliwa na vijana kadhaa kukutaka basi tena umekuwa na kiburi,madaha na nyodo za kutosha mrembo,na kwa kuwa una kazi nzuri labda na kagari basi tena umeona maisha yamefika mwisho,si mbaya siwezi kukulaumu labda ndivyo ulivyolelewa au ni ulimbukeni tu!

*******************************************************************************
lakini natamani utambue jambo moja uzuri wa msichana sio muonekano pekee bali na tabia, hivyo unaweza ukanga'ara sana kwa mbali lakini watu wakikukaribia hawatakaa watakimbia tu....jijengee heshima ya kipekee ambayo itawafanya watu wakuite dada hata kabla hujawakolomea
....."YOU LOOK GOOD FROM FAR BUT ON ACTUAL FACT YOU ARE VERY FAR FROM GOOD" (Unaonekana mzuri toka mbali lakini ukweli ni kuwa uko mbali na uzuri)
na yamkini sasa hivi hilo hulioni,jaribu tu basi kujitathmini na ujue watu wanakuonaje,itakuwa vizuri kama utaanza na marafiki wa karibu kabisa!
Uzuri na ubaya wa maisha ni huu,yaani hata kama wewe hujui kiasi gani bado ukweli utakuhukumu tu!
HONGERA SANA KWA KUWA MZURI,LAKINI JENGA TABIA YAKO.....A WOMAN IS NOTHING WITHOUT A CHARACTER!!!
......Your beauty might take you higher but what can make you remain there is character!!!!
Natamani kama ungenielewa,binafsi sipendi kabisa kuona wasichana warembo wanaangukia katika mikono ya waharibifu,wachafuaji,wafiraji na wasiojiheshimu eti kwa kutekwa na fedha na mali za wanaume hao ama kuwakomoa wale waliojisumbua kuwafuata!!!!
*******************************************************************************

Yamkini umekuwa ukiwajibu vibaya sana na kuwatesa wakaka au vijana wanaokutongoza kwa minajili ya kukuoa,sisemi uwakubali lakini unawajibuje? unajua hekina ni kitu kidogo sana lakini ndio msingi mkuu wa mafanikio!
YAWEZEKANA UNAJIDANGANYA SANA NA KIOO CHAKO CHA CHUMBANI NA UNADHANI UREMBO WAKO WA SASA UTADUMU, AU UNADHANI SASA UNA MUDA HIVYO UNAENDELEA KUWASUMBUA WAKAKA UKIAMINI KUWA WATAENDELEA KUJA TU....MMH NATAKA NIKWAMBIE MUDA WA UZURI NI MFUPI SANA,MUDA WA KUNG'ARA NA KUWAVUTIA WENGI NI WA KITAMBO TU,UKIONA MUDA HUO UMEPITA UTAPATA SHIDA SANA,MAANA UTATAMANI WAJE NA HATA WALE WALIOWAHI KUJA HUTAWAONA TENA NA HATA WALE WABAYA HAWATAKUJA,Hapo ndipo wengi hupata mishtuko na presha na kuamua tu kuolea na yeyote ilimradi na maisha hayo hayawezi kuwa mazuri hata kidogo,maana ni maamuzi ya ilimradi!!

NIMESHUHUDIA WASICANA NA WANAWAKE WENGI SANA AMBAO WARIRINGA WAKATI WA USICHANA WAO NA WAMEKUJA KUOLEWA NA 35,40 NA 45,TENA KWA KUJIOZESHA KWA VIJANA WADOGO AMA WAZEE WALIOFIWA NA WAKE ZAO NA WAKATI HUO HATA MAISHA HAWAYAFAIDI VIZURI.


Usijaribu kijiringanisha na wanaume maana wao hata umri ukienda bado wanaweza kuoa tu,tena wasichana wazuri wa kipindi hicho,hivyo acha maringo na madaha yasiyo na maana,acha kuwatesa vijana na achana na tabia ya kushindanisha wanaume kutokana na vitu walivyo navyo,ukimpata mtu anaekupenda kwa dhati tia baraka mfukoni kisha mshukuru Mungu, mali na vitu hupatikana tu na hasa kama wewe una akili njema vitakuja vingi sana tena sana!!

UKIWA KAMA MSICHANA UNAYO NAFASI NZURI YA KUFANYA VIZURI KATIKA MAISHA YAKO,USIKURUPUKE KUFANYA MAAMUZI,USIKIMBILIE VITU,USIPUPARIKIE MAISHA,JIFUNZE NA UJIPANGE KUAMUA NA HAKIKISHA UNAMUHUSISHA MUNGU 100%KATIKA MAAMUZI YAKO,NA MUHIMU UKUMBUKE KUWA UKIAMUA TU,HAYO NDIYO MAISHA YAKO!!!

#UNAWEZA UKARINGA NA KURUKARUKA UTAKAVYO LAKINI IKIFIKA SAA UTANASWA TU,SASA UKINASWA NA MTEGO NI MATESO YA MAISHA YAKO YOTE NA UKIANGUKIA KWA YULE AKUPENDAE BASI HIYO ITAKUWA PARADISO YAKO NDOGO HAPA DUNIANI!!!

natamani nimalizie andiko langu hili  kwa kusisitiza jambo hili
.....YOUTH IS GLORIOUS BUT IS NOT A CARRIER!!!

Na KING CHAVALA
+255 713 883 797

>>>>>>TO BE CONTINUED!!!!!!

Sunday, March 24, 2013

Kutoka Madhabahuni>>>...."MJUE SANA MUNGU ILI UWE NA AMANI NA MAFANIKIO"

MJUE SANA ILI UWE NA AMANI NDIVYO MEMA  YATAKAVYOKUJIA(01)

SHALOOOOOOM!!
NAWASALIMIA WOTE KATIKA JINA LA YESU KRISTO!
NINATUMAINI UNAENDELEA VIZURI NA MUNGU BADO NI MWEMA SANA MAISHANI MWAKO!
LEO JPILI YA TAR 24 APRIL 2013, NINAWALETEA NENO TOKA MADHABAHUNI MWA BLOG HII NA Mwalimu FREDY E.CHAVALA!
MISINGI YAKE INAJENGWA KATIKA MAANDIKO HAYA

Ayubu 22:21..."Mjue sana Mungu ili uwe na Amani ndivyo Mema yatakavyokujia."

UTANGULIZI;
#Neno hili liko wazi sana na yamkini umewahi kusoma hata maandiko haya mara nyingi sana,lakini ukijua undani wa maneno yake yamkini ukajengeka zaidi,
Neno "MJUE"- Lina misingi miwili M-JUE,M-inakuonyesha msisitizo wa Agizo, na JUA ni hali ya kujifunza ama kufahamu jambo kwa juhudi au kwa bidii, Kwa hiyo MJUE maana yake Tumia juhudi kufahamu zaidi kuhusu Mungu na maandiko hayakuishia hapo,bali yamesema "Mjue sana", maana yake mbali na msisitizo wa neno MJUE bado unasisitizwa SANA....
#Na zaidi maandiko yanasema..."ili uwe na  AMANI",maana yake Kwa kadri unavyomjua ndivyo unavyozidi kuwa na AMANI.....
#Na mwisho maandiko yanasema.."Ndivyo MEMA yatakavyokujia"... na hii inadhihirisha kuwa Ukiwa na Amani ndio unaweza kuona mafanikio/mema!

Kwa Ujumla andiko hili lina maana hii;
KWA KADRI UNAVYOJITAHIDI KUMJUA MUNGU>>>>NDIVYO UTAZIDI KUWA NA AMANI>>>>NA KWA KADRI UNAVYOZIDI KUWA NA AMANI,NDIVYO UTAZIDI KUFANIKIWA!!!

SHULE YA NENO;
Unaweza kuwa unajiuliza sasa kumjua Mungu ndio kufanyaje...Kumjua Mungu ni kufahamu Yeye ni nani kwako,kwanini amekuumba na anakutaka ufanye nini ukiwa duniani,zaidi anataka ufanye nini kwa wanadamu wenzako na Ulimwengu ufanye nini,na hapo utajifunza Vipao mbele vya Mungu,Amri na makatazo yote,ahadi,zawadi na malipo ya kila............

.......ITAENDELEA!!!


Tuesday, March 19, 2013

#STRICTLY FOR MEN...>>>HOW TO ATTRACT A GOOD CHRISTIAN GIRL!!!

Shalom all men!
I am writing this to you because i know it is very important and sometime we don't have time and enough teaching about these stuffs in church or elsewhere,so take heed of them and God the father will surely help you in every step you make in life and this subject is very vital to single men!!

.......She's that pretty girl in your Youth Group or your church. She's really nice, and you like her a lot. Here's how to show her you like her to get her to like you back!!!

 STEPS TO GO THROUGH;

Be a guy who loves the Lord with his whole heart. Don't try to fake it, she will know. Often the thing she will find most attractive in a guy is a heart for God.

Talk to her! Yes, you've all heard this a million times, but it works! If you're in the same Youth Group, talk to her about the Bible study. Ask her if she's planning on going to the meeting next week, or if she's planning on going to the up coming worship night. That sort of thing. Those are great conversation starters!

She's a Christian girl. Chances are, she'll want a boy who will treat her like a real woman. Conduct yourself like a Christian should, by treating her with respect.

 .....Continue!

Monday, March 18, 2013

"GOSPEL MUSIC INDUSTRY"-The highest potentialed Industry in East Africa!!

Hello!
My dear readers and followers!
It is high time since i involved myself to foster the development and growth of Gospel Music Industry, especially in Tanzania!

I have been silent purposely, i was learning hard and i was analyzing how worthy is this reserve and i have come to realize that, this is number one industry in Tanzania and East Africa, there are variety and vast of Gospel singers in this region than anywhere in Africa.

This industry is high because it operate divinely and the overseer of it is God himself!

But yet i came amaze on one thing, yes Gospel Music Industry is high and is selling and is paying,but why Gospel artists are living very low and poor life? why is that so? there are millions of copies of Tapes,Audio and Video CDs in market now and people are buying but why artist are still primitive?
THEN, THERE MUST BE SOMETHING IN BETWEEN!

BUT ARE THESE ARTISTS AWARE OF IT? MAY THEY ARE AWARE! BUT WHAT ARE THEY DOING TO FIND SOLUTIONS? OOOH WHERE ARE THEY? DO THEY HAVE THAT PLAN?

MMH MAY  BE LET US GO MORE FAR.....ARE THEY FRIENDS? CAN THEY FIND SOLUTION TOGETHER?

When i was asking myself those many questions, i came to  realize that our artists have problems for real but number one problem is themselves, here are challenges of Gospel singers that i have discovered

GOSPEL ARTISTS;


   They don’t know each other
Singers have little information about very few of their fellows who are either recording in one studio, worshiping the same church or ever met in one of occasions in Town, but in reality they don’t know each other at all, and because of that singers are living with glasses in their eyes i.e. everybody has assumed stories about others and not real, and this cause unnecessary quarrels, misunderstandings and hatred to the extent that they can’t pray for each other and perhaps one might lightly enjoy the failure of his/her fellow something that is not good at all in the body of Christ.

OBSERVATION; Kenyan and Uganda artists have shown high level of unity, and you can see that by

Friday, March 15, 2013

THE AUTOBIOGRAPHY OF REV.DK HURUMA ENOS NKONE AND VICTORY CHRISTIAN CENTRE TABERNACLE AS A CHURCH!!!

REV DK. HURUMA ENOS NKONE
Personal Particulars:
My names are Huruma Enos Nkone; I was born on 16th of October 1968 in Kigoma Region,
Tanzania. I am the fifth ch
Nkone since Dec 7th 1996 and we are blessed with four children.
REV DK. HURUMA NKONE AND PASTOR JOYCE NKONE
Educational & Professional Background:

From 1978 to 1984 I attended Katubuka Primary School, thereafter Kigoma Secondary School,
1985 to 1988 before going to Pugu High Shool, 1989 to 1991 for my advanced level studies.
Attended National service at Oljoro, Arusha, 1991-1992.

HURUMA NKONE n FRIEND IN 1993
I did the Advanced Diploma in Architecture, University of Dar es salaam, 1992 to 1996. Bible
Correspondence Course, December 28, 1989, Toronto – Canada, First and Second Year
Diplomas in Ministerial Training Courses, October 23, 1998, Johannesburg – Republic of South

THE IDEA BASE>>TANZANIA GOSPEL SINGERS' BREAKFAST!!!

Thursday, March 14, 2013

TANZANIA GOSPEL SINGERS' BREAKFAST ON 06/04/2013!!

    • Saturday, April 6, 2013
    • 8:00am until 1:00pm in UTC+03

  • City Harvest Church Auditorium at Victoria petrol station,Gereji,Mandela road,Dar es salaam

Saturday, March 9, 2013

WHAT IS THE BIBLE?(1)

Bible


The Gutenberg Bible, the first printed BiblePetrine epistles
The Bible (from Koine Greek τὰ βιβλία, tà biblía, "the books") is a canonical collection of texts considered sacred in Judaism or Christianity. Different religious groups include different books within their canons, in different orders, and sometimes divide or combine books, or incorporate additional material into canonical books.
Christian Bibles range from the sixty-six books of the Protestant canon to the eighty-one books of the Ethiopian Orthodox Church canon.

Wednesday, March 6, 2013

MISINGI YA UHUSIANO MZURI (O1)


SEHEMU YA KWANZA

MISINGI YA UHUSIANO MZURI

1) Upendo
2) Msamaha
3) Mawasilano
4) Uaminifu

1. UPENDO
“Wapenzi na tupendane, kwa kuwa pendo latoka kwa mungu; na kila
apendaye amezaliwa na mungu naye anamjua mungu.Yeye asiyependa
hakumjua mungu, kwa maana mungu ni upendo.”
Yohana 4:7-8

Naamini karibia kila mmoja wetu anapenda kupendwa, ila sina hakika kama ni wote tunaopenda kupenda. Ili uhusiano wowote uwe mzuri, utengeneze mizizi na ustawi vizuri na kutoa matunda mema, uhusiano huo unaitaji kuwa na upendo ndani yake. Upendo ni kitu cha kwanza muhimu kwenye aina yoyote ya mahusiano. Yawezekana umetamani kusikia mtu akikuambia nakupenda lakini umemkosa; yawezekana hata wazazi wako wameshimdwa kukuaambia au kuonyesha upendo wao kwako, yawezekana umekaa na kujiona ni mtu wa kuchukiwa na watu wote. Neno nakupenda limekuwa bidhaa adimu kwako, umefikia hatua ya kujikataa. Nina habari njema kwako, kuwa kuna mtu anakupenda, anaitwa Yesu. Yesu alikubali kuyatoa maisha yake kwa ajili yetu, akafa kifo cha aibu pale fuvu la kichwa, juu ya msalaba kwa ajili yako. Hata sasa Yesu anasema anakupenda. Upendo wake hauna kipimo. Upendo wake kwako ni wa gharama ya damu na kifo. Ili akuonyeshe ni jinsi gani anakupenda, aliiacha mbingu akaja duniani aishi na sisi, akala vyakula vyetu, akavaa mavazi yetu, akalala na kutembea nasi. Yeye hakuona kukaa mbinguni kuwa kitu akashuka kutufuaata wanadamu.

GOSPEL SINGERS' BREAKFAST KUZINDULIWA TAR 06/04/2013

Hii ni fursa ya kipekee ambayo itawakutanisha waimbaji wote wa nyimbo za injili walio Dar au watakaobahatika kuwa Dar kwa kuanzia kwa ajili ya ushirika wa Neno,ushauri,kutiana moyo,kufahamiana,maombi na chai nzito ya pamoja!!

Je ungependa kuimba kwa kushirikiana na wenzako?ama ungependa kumiliki Blog au tovuti?,je ungependa kujitangaza kwa mitandao? Je ungependa kuwa wa kimataifa?.....basi hii ni nafasi ya kipekee sana!!

KUNA MAMBO MENGI SANA YA KUJIFUNZA KATIKA DHIFA HII,HIVYO WEWE UKIWA KAMA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI AITHA BINAFSI,KUNDI AU KWAYA,UNAYECHIPUKIA AU UNAYETAMANI KUANZA PAMOJA NA WEWE UNAYEFAHAMIKA SANA!!
Wazo hili limetoka "Chavala Ideas Platform"
na linasimamiwa na kudhaminiwa na
Blog ya kikristo: Gospel Standard Base (GoStaBa Blog)

Dhifa hii itafanikiwa sana kama kila mshiriki akiwa na mchango wa Angalau 5000/=(hiho kiwango sio kiingilio,hivyo unaweza kutoa zaidi kama unawiwa,karibu sana)

Tafadhali ukipata ujumbe huu mwalike na mwenzako


+255-(713/753)-883797


City Harvest Church Auditorium at Victoria petrol station,Gereji,Mandela road,Dar es salaam


GOSPEL SINGERS’ BREAKFAST in SUMMARY
“A special divine social, spiritual and intellectual based morning feast through which all ready and willing Tanzania gospel singers (ready on board and those who are in-process of coming) and all other stakeholders from all strata and diversities will mingle together for soul, mind and body foods, in order to be STRONG in all spheres of life, for the sake of improving our servant hood, our focus and efficiency in serving and manifesting the Kingdom of God in Tanzania and in the Universe. Hopefully this event will serve singers to be impacted, motivated, inspired and challenged to think bigger. Moreover it will help them to familiarize, socialize, and strategize more on how to build a better united, focused future oriented powerful Gospel family in Tanzania, East Africa and Africa which dwell in Gospel Standards!”