Monday, April 30, 2012

.....KARIBU USHIRIKI MJADALA HUU!!!

JE WEWE NI MTAKATIFU?
JE KUNA WATAKATIFU DUNIANI?
fuata link hii ili ukajibu swali hilo!!
http://gospelstandardbase.blogspot.com/p/biblical-debates-bible-studies.html

.........KARIBUNI KWA MAONI!!!

Shalom!





Natumai kila mtu ni mzima tena mzima sana!
ikiwa ni mwanzo wa wiki nzuri hii!
Samahani kwa kuwa kimya kwa wiki nzima,ofisi ilikuwa ina mambo mengi kiasi cha kushindwa kuleta yale yaliyopaswa kuja hapa!
But soon mambo yote yatakuwa mazuri!!
JE KUNA JAMBO AMBALO LINAKUTATIZA?
JE KUNA MTUMISHI AMBAYE UNGEPENDA KUSIKIA KUTOKA KWAKE?
JE KUNA USHUHUDA AMBAO UNGEPENDA KUWASHIRIKISHA WENGINE?
Basi huu ni uwanja wako,usisite kuwasiliana nasi kupitia anuani chini kabisa ya ukurasa huu!!

Monday, April 23, 2012

......Mch GWAJIMA IN LONDON!!!!

Shalom!!
Mchungaji Josephat Gwajima anatarajia kuwepo jijini london kuanzia jumapili hii ya tarehe 29 hadi tarehe 6 ya mwezi wa tano,
kwa yeyote ambaye angependa kukutana na mchungaji kwa ajili ya maombi na ushauri basi anatakiwa kupiga simu namba 0742 7532044 au
07429667095
ili kupanga siku na muda ambao angekutana na mchungaji
aidha mchungaji atakuwa kwenye tawi la kanisa lake jumapili zote mbili kwa yeyote ambaye angependa kufika afuate anuani hii

Glory of christ ministries international,
langham road,Tottenham,London,
N15 3RB.

au apige simu nilizoandika awali 

Thursday, April 19, 2012

........CONTRAVERSIAL ISSUES!!!!!!!!!!!!!!!

Coming soooooooon!!!
 Najua bado una maswali mengi lakini utajibiwa tu!
Pamoja na kwamba umeokoka bado uko duniani,kwahiyo usijaribu kujitaabisha kibinadamu,maana peke yako hutaweza!
Kila jambo lina PANDE TATU!
1.Upande WANGU
2.Upande WAKO
3.Upende SAHIHI!!
( Na Mwl Chavala)

Sasa ni jambo lipi likutaabishalo?
Ni jambo lipi hulielewi?
Je mkiristo kunywa MALTA AU BIDHAA yeyote inayozalishwa na Kiwanda cha BIA ni makosa?
Je TBL kuchangia ujenzi wa KANISA ni vibaya?
Je ni sawa kutumia wine?
Yapi mavazi sahihi?
Siasa na sisi tunahusika au ni kwa walimwengu?
HAYA NA MENGINE MENGI.......UTAJIFUNZA HAPA KATIKA MFULULIZO MPYA!!!!!!

STAY TUNED!!!!

Monday, April 16, 2012

****TANGAZO MAALUM****

TANGAZO MAALUMU KWA WAMILIKI WA BLOGS ZA KIKRISTO NA WANAPENDA KUANZISHA BLOGS ZA KIKRISTO NCHINI TANZANIA

Tarehe 21 April 2012 kuanzia saa 3:00 Asubuhi mpaka saa 5:00 Asubuhi katika mgahawa wa Maarufu wa Bulls(Esarp Village) Ulioko maeneo ya Survey pembeni ya Mlimani City.Kutafanyika mkutano maalumu utakaowakutanisha wamiliki wa blogs za kikristo nchini walio ndani na nje ya Dar es salaam. Sambamba na hilo pia itakuwa ni fursa kwa watumishi wote ambao kwa namna moja au nyingine wana nia kuanzisha blog kwa ajili ya huduma na taasisi zao,makanisa yao, pamoja na vikundi vya injili vilivyoko mashuleni,na vyuoni.
Lengo kubwa la mkutano huu ni
1.Kufahamiana
2.kusaidiana kiufundi namna ya kuboresha na ku-run Blog
3.Kuelimishana na kukumbushana misingi ya uandishi hususani huu wa kutumia blogs na mitandao ya jamii(Citizen Journalism).

Blog kama MADHABAHU, ikitumiwa Vizuri inaweza kumtukuza Mungu na ikitumiwa ndivyo sivyo inaweza kulitukanisha jina la Kristo.Ule mzigo wa Ki-Mungu, ambao Mungu ameuweka ndani ya wamiliki wa blogs na wote wenye nia ya kufungua blog ni HESHIMA kubwa.Hivyo namna ya kutembea na Heshima hiyo inamuhitaji Mungu na kukumbushana pamoja na kusaidiana kwa Upendo.Tafadhali fika Bila kukosa kwa kwa lengo la kuujenga ufalme wa Mungu.
Kwa Mawasiliano Zaidi

068-6255269
0713-763939

Tuesday, April 10, 2012

LEARN HOW TO STUDY YOUR BIBLE!!!!!


"Bible Study Methods"